No products in the cart.

Sale

Jinsi ya Kuanza Biashara ya Dhahabu Tanzania – Kutoka kwa Mwanzo Mpaka Mafaniki

Original price was: TZs 19,000.Current price is: TZs 9,900.

🔥 5 items sold in last 7 days
42 people are viewing this product right now

Unataka kuingia kwenye biashara ya dhahabu?
Ebook hii inakufundisha hatua kwa hatua jinsi ya kuanza biashara halali ya dhahabu Tanzania – kuanzia kupata leseni, kununua kwa usalama, hadi kuuza kwa faida.

In stock

or
Categories:

Biashara ya dhahabu ni moja ya fursa kubwa za utajiri Tanzania – lakini si rahisi kama unavyofikiri.

Ndani ya ebook hii, utajifunza:
✅ Jinsi ya kuanzisha biashara ya dhahabu kama mtu binafsi au kampuni
✅ Aina ya leseni zinazohitajika (Leseni ya Udalali, Uuzaji, Uuzaji wa Nje – Export)
✅ Jinsi ya kupata dhahabu kwa bei nafuu kutoka kwenye masoko ya madini au migodi
✅ Mbinu za kuangalia ubora wa dhahabu (carat na purity)
✅ Jinsi ya kuuza ndani na nje ya nchi (local & export markets)
✅ Hatua za kuzuia utapeli na usalama wa malipo
✅ Mifano ya watu waliofanikiwa kwenye biashara hii na walivyofanikisha

Ikiwa wewe ni kijana au mjasiriamali unayetafuta fursa ya kweli yenye faida kubwa, basi biashara ya dhahabu ni njia sahihi – lakini lazima uingie ukiwa na maarifa sahihi.

Pakua ebook yako leo, jifunze yote unayohitaji, na anza safari yako kwenye biashara ya dhahabu Tanzania.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Jinsi ya Kuanza Biashara ya Dhahabu Tanzania – Kutoka kwa Mwanzo Mpaka Mafaniki”

Your email address will not be published. Required fields are marked

Featured Products