No products in the cart.

Sale

Jinsi ya Kuagiza Bidhaa Kutoka China Mpaka Tanzania – Mwongozo wa Biashara kwa Kila Mtu

Original price was: TZs 19,000.Current price is: TZs 9,900.

🔥 7 items sold in last 7 days
16 people are viewing this product right now

Jifunze jinsi ya kuagiza bidhaa kutoka China hadi Tanzania kwa urahisi!
Ebook hii inakufundisha hatua kwa hatua namna ya kupata wasambazaji wa kuaminika, kuagiza kwa bei nafuu, na kuingiza bidhaa zako bila usumbufu. Ideal kwa wanaoanza na wafanyabiashara wote.

In stock

or
Categories:

Jifunze kuagiza bidhaa kutoka China hadi Tanzania kwa urahisi na kwa gharama nafuu!

Kupitia ebook hii, utapata mwongozo kamili wa hatua kwa hatua kuhusu:

  • Jinsi ya kupata wasambazaji wa kuaminika kupitia Alibaba na mitandao mingine

  • Namna ya kuwasiliana nao kwa usahihi

  • Mbinu za kuagiza kwa bei ya jumla na kupata faida kubwa

  • Njia za malipo salama

  • Usafirishaji wa mizigo hadi Tanzania (air & sea cargo)

  • Ushuru wa forodha na jinsi ya kuupunguza kihalali

  • Makosa ya kuepuka kwa wanaoanza

Boresha biashara yako leo kwa maarifa haya ya ndani!
Pakua ebook yako sasa na anza safari yako ya kuagiza kwa mafanikio kutoka China kwenda Tanzania.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Jinsi ya Kuagiza Bidhaa Kutoka China Mpaka Tanzania – Mwongozo wa Biashara kwa Kila Mtu”

Your email address will not be published. Required fields are marked

Featured Products